Friday, March 30, 2012

Chakula cha kuku kwa kilo - Tulipoanza mradi

Chakula cha kuku tilipoanza mradi hapo mwanzoni mwanzoni, hakika kila kitu kikubwa kilianza kidogo kwanza. Ndivyo inavyoonyesha hapo tulipoanza kununua kwa kilo chakula cha kuku ambao hata na wenyewe walikua ni wachache wakati huo, tulianza kwa nunua kilo moja kwa shilingi elfu nne.

No comments: