Friday, March 30, 2012

Kuku wa kienyeji wakitamia - Tulipoanza mradi

Kuku wa kienyeji wakitamia wakati tumeanza mradi tuliwaachia watamie kwa muda ili tuendelee kujifunza kutoka kwao kwa kuwa tlijua ni heri kwetu kujifunza zaidi kabla ya kuamua kuingia ktk mradi mzima.
wenyewe wakiwa wanatamia hawapendi kuingiliwa ingiliwa na mwanadamu na hata wenyewe kwa wenyewe ndio maana utaona tumewatenganishia kwa vibao kila mmoja asimuone mwenzie lakini wanawekewa chakula chao na maji.

No comments: