Friday, March 30, 2012

Mtetea na Vifaranga wake - Tulipoanza mradi

Mtetea na vifaranga wake tuliendelea kujifunza kutoka kwa kuku wetu pale tulipokua tumeanza na mtetea huyu kwa kupata vifaranga 15 na wengine walikufa na kubakia 10 hata sasa wanakua na wenyewe kuwa mitetea na vijogoo, utajifunza kitu hapo kwani wanapokaa nje kwenye banda lao wakati wanawatamia baada ya kuaguliwa tunawachukua na kuwapeleka ndani kwenye joto zaidi ili kukua kwa uangalizi wa karibu

No comments: