Friday, March 30, 2012

Mabanda ya kuku - Tulipoanza mradi

Mabanda ya kuku hapo tulipoanza mradi huu, ninapenda sana kukuonyesha pale tulipotoka kwani kila lenye lengo dogo zuri linazaa lengo kubwa, utaweza kuona tulipoanza mradi huu tulianza na vibanda hivi vidogo na baada ya hapo tukaongeza hilo la katikati tukijitahidi kupawa joto pia wakati wa usiku na kuku wakipata eneo la kucheza kwa kiazi nje.
Neti hizo hapo juu ni kwa ajili ya kuzuia ndege waharibifu wa mifugo hapo kama kunguru, mwewe na wengineo.

No comments: